ACT Wazalendo Kutikisa Na Mambo Makubwa Matano Kwa Mwaka 2018

Chama cha ACT Wazalendo kimetangaza mambo makubwa matano ambayo ndiyo yatakuwa ndio mwelekeo wao kwa mwaka 2018. Akitaja mambo hayo Kio...


Chama cha ACT Wazalendo kimetangaza mambo makubwa matano ambayo ndiyo yatakuwa ndio mwelekeo wao kwa mwaka 2018.

Akitaja mambo hayo Kiongozi wa ACT wazalendo ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe. Zitto Kabwe amesema kuwa ni Kupigania Haki za Wafanyakazi,  Kuongoza juhudi za Ushirikiano na Vyama vingine vya upinzani kwa shabaha ya kuimarisha Demokrasia, Kusemea Haki za Kijamii, kushawishi Sera za Uchumi na Kujikita Katika Uimarishaji wa Chama kwenye ngazi zote na kufanya Mkutano Mkuu wa Chama Mwezi Agosti Jijini Mbeya sambamba na Mkutano Mkuu wa Kidemokrasia 2018.

Tayari  Chama cha ACT-Wazalendo kimeanza na jukumu moja wapo kwa kufanya ziara katika mikoa ambayo 11  ili kuimarisha muundo wa Chama hicho kwenye ngazi zote.
Mwelekeo wa Chama cha ACT Wazalendo Katika mwaka 2018
1. Kupigania Haki za Wafanyakazi kupitia Vyama vya Wafanyakazi na haki za raia kupitia vyama vya Wakulima, Wavuvi, Wafugaji na Wafanyabiashara wadogo kwa kujenga ushirikiano wa kipambano na Jumuiya hizo za Wananchi.
2. Kuongoza juhudi za Ushirikiano na Vyama vingine vya upinzani kwa shabaha ya kuimarisha Demokrasia ya vyama vingi nchini kwa kufanya vikao vya Mara kwa Mara na Viongozi wa Vyama vingine na kufanya shughuli za pamoja.
3. Kuendelea kusemea Haki za Kijamii kama Elimu na Afya na kuongeza juhudi za kupigania Haki ya Hifadhi ya Jamii kwa Wananchi wote hasa Wakulima kwa kushawishi kuanzisha Fao la Bei katika mfumo wa Hifadhi ya Jamii nchini na Bima ya Afya kwa kila Mtanzania.
4. Kuendelea kushawishi Sera za Uchumi zinazomkomboa mwananchi wa kawaida kwa kukosoa Sera zinazodidimiza Maendeleo ya Uchumi na kupendekeza Sera mbadala.
5. Kujikita Katika Uimarishaji wa Chama kwenye ngazi zote na kufanya Mkutano Mkuu wa Chama Mwezi Agosti Jijini Mbeya sambamba na Mkutano Mkuu wa Kidemokrasia 2018.

COMMENTS

Name

Entertainment,110,Fashion,5,Health,5,Job,11,Lifestyle,2,Makala,6,Music,4,News,177,Sports,98,Videos,14,
ltr
item
Habari Today: ACT Wazalendo Kutikisa Na Mambo Makubwa Matano Kwa Mwaka 2018
ACT Wazalendo Kutikisa Na Mambo Makubwa Matano Kwa Mwaka 2018
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhAzPZqkTv7VAGmfpDWPBIQgglPpf7Y44RMddCV-9J6Hh0-DhZL2AOOntf3vLW5sU5pQbd60Q9kZkESsmK1_T4GGaGPhcJ_O0BbXIMRg25K_qX35ZNc8thpr2vUFtlafyYxJ5sHrotHxkkz/s640/Zitto-Kabwe-ACT-Leader3.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhAzPZqkTv7VAGmfpDWPBIQgglPpf7Y44RMddCV-9J6Hh0-DhZL2AOOntf3vLW5sU5pQbd60Q9kZkESsmK1_T4GGaGPhcJ_O0BbXIMRg25K_qX35ZNc8thpr2vUFtlafyYxJ5sHrotHxkkz/s72-c/Zitto-Kabwe-ACT-Leader3.jpg
Habari Today
http://habaritodaytzz.blogspot.com/2018/02/act-wazalendo-kutikisa-na-mambo-makubwa.html
http://habaritodaytzz.blogspot.com/
http://habaritodaytzz.blogspot.com/
http://habaritodaytzz.blogspot.com/2018/02/act-wazalendo-kutikisa-na-mambo-makubwa.html
true
7010127043980995099
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy