Baada Ya Dhiki faraja , Msanii Muchoma Wa Rwanda Athibitisha Hilo

Msanii wa muziki kutoka nchini Rwanda, Muchoma ameendelea kuwa mfano bora kwa vijana waliopo katika mazingira magumu na waliokata tamaa ...


Msanii wa muziki kutoka nchini Rwanda, Muchoma ameendelea kuwa mfano bora kwa vijana waliopo katika mazingira magumu na waliokata tamaa ya kufanikiwa katika maisha.

Akiongea na Bongo5 msanii huyo ambaye pia anafanya muziki wa Singeli ameeleza kuwa licha ya kupitia maisha magumu zamaini haikumfanya akate tamaa katika maisha kwani aliamini ipo siku atafanikiwa.

“Mimi ni yule kijana niliyelelewa kwa umasikini wa chini kabisa, na kwetu tumezaliwa watoto saba na mimi ndiyo mtoto wa kwanza kuzaliwa kwetu , nilitoka kwetu kutafuta maisha nikiwa kijana mdogo sana na nikawa omba omba mtaani na baadaye niwa nafanya kazi za ndani kwenye majumba ya watu, lakini baadaye nikajiingiza katika biashara na nikaenda hadi nchini Uganda .” ameeleza Muchoma


Nyumba ya Muchoma

Kuhusu mafanikio aliyonayo kwa sasa ikiwemo kununua nyumba ya kifahari ya milioni 45 za Rwanda maeno ya Kisenyi nchini humo , Muchoma ameeleza hizo ni moja ya ndoto yake kwani alijitahidi kujinfunza vitu vingi iliasife masikini.

Akaongeza “ Baada ya kuona nimechoka kuwa ombaomba nikaamua kujifunza kunyoa watu nywele maeneo ya Nairobi na baade nikapata kazi ya kuwa kinyozi katika saluni nzuri kabisa ya kifahari, ila peswa za malipo nilikuwa nikizitunga na kisa nikafungua mgahawa wangu ambao ukawa unapanda na kuwa mzuri kabisa.”

“Mafanikio yakazidi na hatimaye nikapata pesa zangu nyingi na nikaenda Marekani, baade nikareje nyumbani (Rwanda) nikawa naendelea na masuala ya biashara na huko ndiko nilipopata pesa za kuweza kujenga nyumba hiyo ya kifahari.”


Lengo la kulezea historia yangu hiyo ni kuwapa moyo vijana wasikate tamaa katika maisha na kuijiona hawezei kubadirisha mambo amesema Muchoma.

COMMENTS

Name

Entertainment,110,Fashion,5,Health,5,Job,11,Lifestyle,2,Makala,6,Music,4,News,177,Sports,98,Videos,14,
ltr
item
Habari Today: Baada Ya Dhiki faraja , Msanii Muchoma Wa Rwanda Athibitisha Hilo
Baada Ya Dhiki faraja , Msanii Muchoma Wa Rwanda Athibitisha Hilo
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiR7cV377lTOWTxodTgdwtentNoDmiWpEvbFj1jRAyshoJ-13vQpD65LqhXHNW883ApGTr7hmyuaQeSKhBHvAo3IVYz_yZrtw5IJaKP_hrZ3L6XX0S_v7yiZkUYQ8Xdkq8gaTr2QKDWKa01/s640/dhik.jpeg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiR7cV377lTOWTxodTgdwtentNoDmiWpEvbFj1jRAyshoJ-13vQpD65LqhXHNW883ApGTr7hmyuaQeSKhBHvAo3IVYz_yZrtw5IJaKP_hrZ3L6XX0S_v7yiZkUYQ8Xdkq8gaTr2QKDWKa01/s72-c/dhik.jpeg
Habari Today
http://habaritodaytzz.blogspot.com/2018/02/baada-ya-dhiki-faraja-msanii-muchoma-wa.html
http://habaritodaytzz.blogspot.com/
http://habaritodaytzz.blogspot.com/
http://habaritodaytzz.blogspot.com/2018/02/baada-ya-dhiki-faraja-msanii-muchoma-wa.html
true
7010127043980995099
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy