Chadema Yalaani Kutekwa Mgombea Udiwani Muleba

Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dkt. Vincent Mashinji (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini ...


Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dkt. Vincent Mashinji (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimelaani kitendo cha mwanachama wake, Athanas  Makoti, ambaye ni mgombea udiwani katika kata ya Buhangaza wilayani Muleba kutekwa na watu wasiojulikana na  kumtaka kujitoa katika kinyang’anyiro ya udiwani.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa chama hicho,  Dtk. Vincent Mashinji,  amesema  jeshi la polisi linatakiwa kufanya uchunguzi wa haraka ili  kubaini waliomteka mgombea huyo wa udiwani.

Amesema kuwa Makoti alitekwa Februari 2 mwaka huu katika mazingira ya kutatanisha na  kupatikana Februari 5 akiwa ametelekezwa  eneo la  Hospitali ya Kagando  iliyoko Muleba ambako mpaka sasa ndipo amelazwa.

Amesema kuwa watekaji walimteremsha katika bodaboda aliyokuwa amepanda wakati akitokea kwenye  mchakato wa kampeni za udiwani ambapo watekaji hao walikuwa ndani ya gari aina ya Toyota RAV 4.


Ameongeza kuwa Makoti alitakiwa kukukubali kupokea pesa ambazo walikuwa nazo  ili  aweze kujitoa katika kinyang’anyiro hicho cha udiwani  lakini baada ya kukataa ndipo alianza kusulubiwa hadi hapo walipotimiza azima yao.

COMMENTS

Name

Entertainment,110,Fashion,5,Health,5,Job,11,Lifestyle,2,Makala,6,Music,4,News,177,Sports,98,Videos,14,
ltr
item
Habari Today: Chadema Yalaani Kutekwa Mgombea Udiwani Muleba
Chadema Yalaani Kutekwa Mgombea Udiwani Muleba
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhO7yUXUC3z_800DjA2zU3YL82Vv9vl1Oy1tp07kXHfGREp0n-DuQ5ekYHR0ACzLKA2HOaJYLj1Pvl_d0tBF9keqxX6DfFQD1smTr4DNhJq89AnCcZNSqGuWa4rk-MkFcRonRxvplBbORZ0/s640/chadema.PNG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhO7yUXUC3z_800DjA2zU3YL82Vv9vl1Oy1tp07kXHfGREp0n-DuQ5ekYHR0ACzLKA2HOaJYLj1Pvl_d0tBF9keqxX6DfFQD1smTr4DNhJq89AnCcZNSqGuWa4rk-MkFcRonRxvplBbORZ0/s72-c/chadema.PNG
Habari Today
http://habaritodaytzz.blogspot.com/2018/02/chadema-yalaani-kutekwa-mgombea-udiwani.html
http://habaritodaytzz.blogspot.com/
http://habaritodaytzz.blogspot.com/
http://habaritodaytzz.blogspot.com/2018/02/chadema-yalaani-kutekwa-mgombea-udiwani.html
true
7010127043980995099
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy