LOWASSA Awapongeza Maaskofu.. Ataka Kinondoni Wasilale Mpaka Kieleweke

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa amewapongeza maaskofu kwa kuunga mkono mambo aliyosema wamek...


Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa amewapongeza maaskofu kwa kuunga mkono mambo aliyosema wamekuwa wakiyapigania.
Lowassa ametoa pongezi hizo jana Februari 11,2018 akimnadi mgombea ubunge jimbo la Kinondoni, Salum Mwalimu katika Kata ya Kijitonyama.
“Leo kwenye magazeti wameandika kwamba Baraza la Maaskofu wamezungumzia mambo ambayo tumekuwa tunayasema kila siku, kuhusu kuzuia uhuru wa kuzungumza na suala la maadili. Ninawashukuru sana maaskofu, ninawapongeza sana kwa kuunga mkono ambayo tumekuwa tunayasema,” amesema Lowassa.
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limetoa ujumbe wa Kwaresima wa mwaka 2018 ndani yake likitoa msimamo kuhusu masuala ya kisiasa, kiuchumi na kijamii nchini.
Lowassa akimnadi Mwalimu alisema anamfahamu kwamba ni kijana shupavu na mchapa kazi ambaye akipewa kura wananchi wa Kinondoni watapata maendeleo.
“Kinondoni msilale mpaka kieleweke. Mchagueni Salum Mwalimu akawaletee maendeleo,” amesema.
Mwalimu akiomba kura amesema Kinondoni ni watu ambao wanajitambua.
“Kinondoni ni watu mnaojitambua, ni watu ambao mlijitoa mwaka 2015, wengine waliachika. Ninawapenda sana, ninajua nina deni kubwa la kuwalipa,” amesema.
Mwalimu amesema, “Ninapozungumza najua ninazungumza na wajanja ambao hawadanganyiki. Tangu juzi, wenzangu wameleta fedha hapa Kijitonyama kwa ajili ya kununua shahada.”

Amesema waliposikia anagombea ubunge walipata hofu kubwa, vikao vikawa haviishi wakitafakari itakuwaje nikienda bungeni.

COMMENTS

Name

Entertainment,110,Fashion,5,Health,5,Job,11,Lifestyle,2,Makala,6,Music,4,News,177,Sports,98,Videos,14,
ltr
item
Habari Today: LOWASSA Awapongeza Maaskofu.. Ataka Kinondoni Wasilale Mpaka Kieleweke
LOWASSA Awapongeza Maaskofu.. Ataka Kinondoni Wasilale Mpaka Kieleweke
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvwVQ4mGw9Is9g_ZgPYgc-AEECY2LOD44pejbCmP9oJNxMlp44gpnvcGajPFfidNfBvmv1hzsafQFGsINgUtrVhE51ZVBbs50NP4awMSV1EMYY8X0ZlmAGUtCSaUHkMI8EYyLaUdeFZqjr/s640/LOWASSSA.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvwVQ4mGw9Is9g_ZgPYgc-AEECY2LOD44pejbCmP9oJNxMlp44gpnvcGajPFfidNfBvmv1hzsafQFGsINgUtrVhE51ZVBbs50NP4awMSV1EMYY8X0ZlmAGUtCSaUHkMI8EYyLaUdeFZqjr/s72-c/LOWASSSA.jpg
Habari Today
http://habaritodaytzz.blogspot.com/2018/02/lowassa-awapongeza-maaskofu-ataka.html
http://habaritodaytzz.blogspot.com/
http://habaritodaytzz.blogspot.com/
http://habaritodaytzz.blogspot.com/2018/02/lowassa-awapongeza-maaskofu-ataka.html
true
7010127043980995099
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy