Warford Wakiwa Nyumbani Yailaza Chelsea Bao 4-1

Watford ilifunga mabao matatu ya dakika za lala salama kushinda mechi ya kwanza ya mkufunzi Javi Gracia dhidi ya Chelsea ,ushindi unao...


Watford ilifunga mabao matatu ya dakika za lala salama kushinda mechi ya kwanza ya mkufunzi Javi Gracia dhidi ya Chelsea ,ushindi unaompatia shinikizo kali mwenzake wa Chelsea Antonio Conte.


Chelsea ilicheza takriban saa moja ikiwa na wachezaji 10 baada ya Tiemoue Bakayoko kupewa kadi nyekundu baada ya kucheza visivyo hatua ilioipatia Watford fursa ya kufunga mabao manne.


The Hornets ambao walikuwa wamepata ushindi mmoja kati ya mechi 12 walizocheza waliongoza kwa utata baada ya Gerard Deulofue kujiangusha kwa urahisi kufuatia kabiliano la kipa Thibaut Courtois huku Troy Deeney akifunga mkwaju wa penalti.


Chelsea iliomuingiza Olivier Giroud kwa mechi yake ya kwanza katika kipindi cha pili ilisawazisha wakati nyota wao Eden Hazard alipofunga bao zuri akiwa miguu 25 kutoka kwa lango.

Lakini dakika mbili baadaye ,Daryl Janmaat alifunga bao zuri wakati alipochenga kutoka wingi ya kulia na kucheza moja mbili na Robert Pereyra akawachenga mabeki wengine kabla ya kufunga na mguu wake wa kushoto.


Deulofeu aliongeza bao lake la pili wakati alipotamba na mpira na kushambulia kabla ya mpira kumpiga beki Gary Cahill na kuingia.


Watford sasa wako pointi sita juu ya eneo la kushushwa daraja.Gracia ambaye alichukua mahala pake marco Silva mwezi uliopita aliambia bbc Sport: Ulikuwa ushindi mkubwa na mechi nzuri, Nawapongeza wachezaji wangu.Tulicheza mechi nzuri , tukawasukuma sana.


Watford (3-4-3):
Karnezis 6; Mariappa 6, Prodl 6.5, Holebas 6; Janmaat 6.5, Doucoure 7, Capoue 6.5, Zeegelaar 6; Deulofeu 8, Deeney 7, Richarlison 7.5 (Pereyra, 7.5)
Subs not used: Bachmann, Carrillo, Gray, Lukebakio; Mukena, Ndong, Pereyra
Goals: Deeney 42, Janmaat 84, Deulofeu 88, Pereyra 90
Yellow cards: Richarlison 45, Prodl 50
Manager: Javi Gracia 7
Chelsea: (3-4-3):
Courtois 6; Azpilicueta 5, Luiz 5, Cahill 5; Moses 6, Kante 6, Bakayoko 3, Zappacosta 5; Willian 6 (Fabregas 35, 6), Hazard 5.5, Pedro 5 (Giroud 64, 6)
Subs not used: Caballero, Drinkwater, Hudson-Odoi, Emerson, Rudiger 
Goals: Hazard 82 
Yellow cards: Luiz 58 Fabregas 62
Red cards: Bakayoko 30
Manager: Antonio Conte 6
Ref: Mike Dean 

COMMENTS

Name

Entertainment,110,Fashion,5,Health,5,Job,11,Lifestyle,2,Makala,6,Music,4,News,177,Sports,98,Videos,14,
ltr
item
Habari Today: Warford Wakiwa Nyumbani Yailaza Chelsea Bao 4-1
Warford Wakiwa Nyumbani Yailaza Chelsea Bao 4-1
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDjpyveNdqpl5XQUiuBXPVR1QenWRi_x4xIcJtEgye4vWdhet3QF1misxEyvEVi_uQ0ew9xFaEoL7iN1rv2uMmzd-olvhsDTofZJkAAYbB-u8lnQ3TyUwN7i_CQieFOo6D-kHBQX3gLqhz/s320/watf+1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDjpyveNdqpl5XQUiuBXPVR1QenWRi_x4xIcJtEgye4vWdhet3QF1misxEyvEVi_uQ0ew9xFaEoL7iN1rv2uMmzd-olvhsDTofZJkAAYbB-u8lnQ3TyUwN7i_CQieFOo6D-kHBQX3gLqhz/s72-c/watf+1.jpg
Habari Today
http://habaritodaytzz.blogspot.com/2018/02/warford-wakiwa-nyumbani-yailaza-chelsea.html
http://habaritodaytzz.blogspot.com/
http://habaritodaytzz.blogspot.com/
http://habaritodaytzz.blogspot.com/2018/02/warford-wakiwa-nyumbani-yailaza-chelsea.html
true
7010127043980995099
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy