Wastara Amwaga Chozi Akiaga Kwenda Kutibiwa ‘ Sijawahi Kuchangiwa Na Watanzania ’

Muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Wastara ameondoka nchini kuelekea India kwa ajili ya matibabu ya mguu wake ulioanza kumsumbua mwis...


Muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Wastara ameondoka nchini kuelekea India kwa ajili ya matibabu ya mguu wake ulioanza kumsumbua mwishoni mwa mwaka jana huku akiwashukuru watanazania na Vyombo vya Habari kwa kuwa pamoja naye kipindi alivyokuwa akihitaji msaada wa fedha.

Wastara akiongea na waandishi wa Habari mapema leo Jumapili Februari 4, 2018 katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam, amesema “nina washukuru sana vyombo vya habari wote kwa moyo wa upendo walionesha kwa sababu bila ya wao hata mimi nisingekuwa Wastara. Napenda kuwaambia watanzania kwamba tuamini sana maneno anayosema mtu kuliko neno analosema mtu mwingine kwa hiyo naamini kuna wengine watakuja na matatizo tujaribu kuwaangalia nawao pia”. 

Na alipoulizwa kuhusu tuhuma za kutumia fedha za matibabu kwa starehe kama alivyowahi kuchangiwa kipindi cha nyuma na kwenda Dubai, Wastara amesema hajawahi kuchangiwa na Watanzania bali alisaidiwa Makamu wa Rais na hakutumia kwa matumizi mengine.


Kwanza niseme sijawahi kuchangiwa na Watanzania mimi kama mimi, mara ya kwanza nilipoumwa aliyenichangia asilimia kubwa alikuwa ni Makamu wa Rais, na uzuri ni kwamba mpaka nafika hospitalini nilikuwa nampigia simu. Kilichosababisha watu waseme baada ya kufika hospitali kama hivi ninavyokwambia wiki tatu linapotokea tatizo kama umefanyiwa Oparesheni au upasuaji wowote niliambiwa unauwezo wa kukaa au kuishi kwenye hoteli karibu na hospitali..Ndipo watu wa karibu yangu wa Oman wakawa wamenipa Visa nikaenda kukaa huko kwa muda.“ameongea Wastara.

COMMENTS

Name

Entertainment,110,Fashion,5,Health,5,Job,11,Lifestyle,2,Makala,6,Music,4,News,177,Sports,98,Videos,14,
ltr
item
Habari Today: Wastara Amwaga Chozi Akiaga Kwenda Kutibiwa ‘ Sijawahi Kuchangiwa Na Watanzania ’
Wastara Amwaga Chozi Akiaga Kwenda Kutibiwa ‘ Sijawahi Kuchangiwa Na Watanzania ’
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhhiW1vj1r7V1aIYK1OBK-Mj5EbJkOyftDTYLoqUZJG82wUQ8MdcLvJsG9LQTX07Eul0-JEqsNm80FdVyTXuJynJbuxhbEdEYN7PJxyxo8dvEzOdlRsI8RTwKVCr9XlkZE3S1sisH7YPHbo/s640/tea.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhhiW1vj1r7V1aIYK1OBK-Mj5EbJkOyftDTYLoqUZJG82wUQ8MdcLvJsG9LQTX07Eul0-JEqsNm80FdVyTXuJynJbuxhbEdEYN7PJxyxo8dvEzOdlRsI8RTwKVCr9XlkZE3S1sisH7YPHbo/s72-c/tea.jpg
Habari Today
http://habaritodaytzz.blogspot.com/2018/02/wastara-amwaga-chozi-akiaga-kwenda.html
http://habaritodaytzz.blogspot.com/
http://habaritodaytzz.blogspot.com/
http://habaritodaytzz.blogspot.com/2018/02/wastara-amwaga-chozi-akiaga-kwenda.html
true
7010127043980995099
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy