Waziri Wa Ujenzi Na Uchukuzi Wa LESOTHO Atemberea Mradi Wa DART

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mabasi yaendayo haraka (DART), Eng. Ronald Lwakatare (aliyesimama) akifafanua jambo kwa ujumbe wa Waziri wa Uje...


Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mabasi yaendayo haraka (DART), Eng. Ronald Lwakatare (aliyesimama) akifafanua jambo kwa ujumbe wa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Serikali ya Lesotho walipotembelea mradi huo.


Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), Bw. Hija Malamla akizungumza katika kikao cha pamoja kati ya wataalamu wa sekta ya barabara nchini na ujumbe wa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Serikali ya Lesotho uliko nchini kwa ziara ya mafunzo.


Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi wa Lesotho, Mathabathe Hlalele (wa pili kulia) akisisitiza jambo kwenye kikao cha kubadilishana uzoefu kati ya ujumbe wa nchi hiyo na Tanzania.


Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi cha Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), Bw. Lyanga (wa pili kushoto) akiwasilisha mada kwa ujumbe wa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Serikali ya Lesotho walipotembelea ofisi za TANROADS jijini Dar es Salaam.


Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mabasi yaendayo haraka (DART), Eng. Ronald Lwakatare (katikati) akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Lesotho, Mhe. Moramotse (kulia) alipotembelea kukagua mradi huo.


Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi wa Lesotho, Mhe. Lehlohonolo Moramotse (wa tatu kulia) akisisitiza jambo akiwa kwenye moja ya Mabasi yaendayo haraka (DART) alipotembelea mradi huo jijini Dar es Salaam. Wa pili kulia ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mabasi yaendayo haraka (DART), Eng. Ronald Lwakatare.

COMMENTS

Name

Entertainment,110,Fashion,5,Health,5,Job,11,Lifestyle,2,Makala,6,Music,4,News,177,Sports,98,Videos,14,
ltr
item
Habari Today: Waziri Wa Ujenzi Na Uchukuzi Wa LESOTHO Atemberea Mradi Wa DART
Waziri Wa Ujenzi Na Uchukuzi Wa LESOTHO Atemberea Mradi Wa DART
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjHeeS-rsJuIAAp9hDAIZSuqwt_TgOHs4XNREva0p1sffa_0OlF3wDir9NLm9oqwp8lMDual9BdF8VhwES9pQjAOu0w4taGmHx5L7eiZJyEg2nTMxOvtTCJ8Y1LCCsKYhXrLdhceKropTZv/s640/dar+1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjHeeS-rsJuIAAp9hDAIZSuqwt_TgOHs4XNREva0p1sffa_0OlF3wDir9NLm9oqwp8lMDual9BdF8VhwES9pQjAOu0w4taGmHx5L7eiZJyEg2nTMxOvtTCJ8Y1LCCsKYhXrLdhceKropTZv/s72-c/dar+1.jpg
Habari Today
http://habaritodaytzz.blogspot.com/2018/02/waziri-wa-ujenzi-na-uchukuzi-wa-lesotho.html
http://habaritodaytzz.blogspot.com/
http://habaritodaytzz.blogspot.com/
http://habaritodaytzz.blogspot.com/2018/02/waziri-wa-ujenzi-na-uchukuzi-wa-lesotho.html
true
7010127043980995099
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy